Back to home
Busia: Vijana wahamasishwa kuhusu matumizi salama ya mitandao ya kijamii
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 18, 2026
12h ago
Vijana kaunti ya Busia wamehamasishwa kuhusu matumizi salama ya mitandao ya kijamii, katika juhudi za kuzuia kuenea kwa jumbe za chuki na uhalifu wa kimtandao kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ken
Advertisement
Advertisement





