Back to home
Kakamega: wakazi waishi kwa hofu kutokana na kushambuliwa wanaporejea nyumbani kutoka kazini
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 18, 2026
18h ago
Wakazi wanaoishi katika mtaa wa Joyland, viungani mwa mji wa Kakamega, wanaishi kwa hofu kutokana na mashambulizi ya mara kwa mara wanaporejea nyumbani kutoka kazini, huku baadhi yao wakipata majeraha makali.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ev
Advertisement
Advertisement





