Back to home

Mradi wa Sh2.2 Bilioni wa barabara ya Kathageri-Kanyuambora watoa matumaini

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 19, 2026
1h ago
Wakazi na wafanyabiashara wanaotumia barabara ya Kathageri-Kanyuambora wanatumai mradi wa ujenzi wa barabara hiyo wa shilingi bilioni 2.2 utamaliza changamoto za usafiri ambazo zimeathiri biashara zao kwa miaka mingi.
Advertisement