Back to home
Serikali yazindua mradi wa sh2.7 bilioni wa kusambaza umeme Makueni
video
C
Citizen TV (Youtube)August 19, 2026
2h ago
Serikali imetenga shilingi bilioni 2.7 za kusambaza umeme katika maeneo mbalimbali ya kaunti ya Makueni. serikali inalenga kufikia familia zaidi ya elfu 23 kwa mradi huo.
Advertisement
Advertisement





