Back to home

Ndindi Nyoro arejea Murang’a kutafuta uungwaji mkono kisiasa kabla ya kuanza ziara ya kitaifa

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 19, 2026
47m ago
Siku mbili baada ya kutangaza mwelekeo mpya wa kisiasa na kuzindua Chama cha People’s Party of Kenya, Mbunge wa Kiharu Ndindi Nyoro amerejea katika ngome yake ya kisiasa huko Murang’a kutafuta baraka za nyumbani kabla ya kuanza ziara ya kitaifa ya kutafuta uungwaji mkono. S
Advertisement