Back to home

Makumi ya wanawake katika Kaunti ya Nandi waandamana kilomita tano kufuatia mauaji ya ajuza wa miaka

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
52m ago
Makumi ya wanawake katika Kaunti ya Nandi waandamana kwa zaidi ya kilomita tano hadi katika kituo cha polisi cha Chepterit, wakitaka haki itendeke kufuatia mauaji ya nyanya mwenye umri wa miaka 67, ambaye anadaiwa kunajisiwa na watu wasiojulikana kabla ya kuuawa.
Advertisement