Back to home

Familia zaomboleza wapendwa saba waliofariki katika ajali Kibwezi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Huzuni ilitanda katika ibada ya watu saba waliofariki katika ajali ya barabarani ijumaa iliyopita katika eneo la Kalembwani huko Nzaui kaunti ya Makueni. familia zimetaja vifo vya wapendwa wao kama pigo kubwa kwao .
Advertisement