Back to home
Familia za waliotekwa nyara zataka haki
video
C
Citizen TV (Youtube)August 6, 2026
3h ago
Familia za watu wanne waliotekwa nyara zimeandamana jijini Nairobi huku zikiendelea kuwalaumu polisi kwa kuhusika. Zaidi ya mwezi mmoja baada ya MacMilan Kiarie, Michael Oloo, Evans Otieno na Abdulaziz Ali kutoweka, jamaa na wanaharakati wanasema serikali imeendelea kujitia hamna
Advertisement
Advertisement




