Back to home

Kafara ya amani: familia ya kasisi aliyeuawa yadai haki

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 6, 2026
2h ago
Kafara ya amani: Ni zaidi ya mwaka mmoja sasa tangu kasisi wa Kanisa Katoliki Allois Cheruyiot Bett auwawe kwa kupigwa risasi na majangili alipokuwa akieneza amani katika Bonde la Kerio, kaunti ya Elgeyo Marakwet. Kufikia sasa, hakuna mtu yeyote aliyekamatwa wala kushtakiwa kwa
Advertisement