Back to home
Familia yadai hatua dhidi ya mwalimu anayetuhumiwa kumpiga mwanafunzi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Familia moja katika eneo la Kiminini, kaunti ya Trans Nzoia, imeitaka polisi kumchukulia hatua mwalimu anayetuhumiwa kumpiga mwanafunzi wa kike viboko 30 na kumjeruhi vibaya katika Shule ya Upili ya Masaba.
Familia hiyo inasema ni zaidi ya miezi miwili tangu tukio hilo litokee,
Advertisement
Advertisement





