Back to home

Eldoret: Polisi kuendelea kumzuilia afisa wa GSU anayetuhumiwa kumuua mwanamke mmoja

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 1, 2026
4h ago
Mahakama Jijini Eldoret imewaruhusu Polisi Kuendelea kumzuilia Kwa siku 21 zaidi, afisa WA GSU anayetuhumiwa kumpiga risasi na kumuua mwanamke mmoja katika Mkahawa wa GSU karibu na ikulu ndogo ya Eldoret Jumapili iliyopita ya Agosti 30. Subscribe and watch NTV Kenya live for la
Advertisement