Back to home
Afisa wa GSU azuiliwa kwa tuhuma za mauaji Eldoret
video
C
Citizen TV (Youtube)August 31, 2026
1h ago
Polisi mjini Eldoret wanamzuilia afisa wa GSU aliyehusishwa na mauaji ya mwanamke mmoja katika eneo la burudani la Kikosi cha GSU huko Naiberi, Uasin Gishu.
Polisi hao wanasema mshukiwa huyo, Nathan Kirwa, ambaye ni mlinzi wa Gavana wa Uasin Gishu, anasubiri kufikishwa mahakaman
Advertisement
Advertisement





