Back to home
Washukiwa watatu wa mauaji ya Dkt. Victoria Mutiso kuzuiliwa kwa siku 30 zaidi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 10, 2026
2h ago
Afisa wa polisi Elijah Kimoi na washukiwa wenzake wa mauaji ya Daktari Victoria Mutiso, Daniel Mwangi na Kevin Kinuthia, watasalia rumande kwa siku 30 zaidi.
Watatu hao, waliokamatwa Ijumaa, walifikishwa katika Mahakama ya Milimani ambako mahakama ilielezwa namna walivyohusika k
Advertisement
Advertisement





