Back to home
Wawili wakamatwa kuhusiana na mauaji ya Dkt. Victoria Mutiso
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2026
2h ago
Makachero wa DCI wamewakamata washukiwa wawili kuhusiana na uchunguzi wa mauaji ya Daktari wa maradhi ya akili, Victoria Nthunya Mutiso, aliyekuwa mkurugenzi katika shirika la utafiti wa afya ya akili na ubongo.
Waliozuiliwa ni Rose Mbithe Mulwa, aliyekuwa mke wa Profesa David N
Advertisement
Advertisement





