Back to home
Familia za waliotoweka wakati wa maandamano ya Gen Z zaitaka serikali kuwajib
video
C
Citizen TV (Youtube)August 30, 2026
2h ago
Familia za waathiriwa wa maandamano ya Gen Z waliotoweka wameendelea kuitaka serikali kuwajibikia swala hili na kutoa taarifa za waliko jamaa zao. Ingawa imekuwa miaka miwili tangu kutoweka kwa baadhi yao, familia hizi zinasema zina matumaini kuwa jamaa zao watarudi siku moja. Na
Advertisement
Advertisement





