Back to home
Kafara ya amani: Familia ya Kasisi Allois Bett yadai haki zaidi ya mwaka baada ya kuuawa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 7, 2026
1h ago
Zaidi ya mwaka mmoja tangu kuuawa kwa Kasisi Allois Bett na majangili katika Bonde la Kerio, familia yake bado inalia haki. Wakati huo huo, majangili 16 wanaodaiwa kuacha shughuli za uhalifu wanasema wameachana na uvamizi, huku amani ikiripotiwa kurejea katika baadhi ya maeneo ya
Advertisement
Advertisement





