Back to home
Familia mbili Nairobi zataka haki baada ya vifo vya wanaume wawili
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Familia mbili hapa Nairobi zinalilia haki baada ya wanaume wao kufariki kwa njia tata wakati wa mikutano ya kisiasa ya Linda Mwananchi hapo jana.
Brandon Ong’or na Joseph Shikuku wanadaiwa kuvamiwa na watu wasiojulikana na kudhulumiwa kabla ya miili yao kufikishwa katika makafa
Advertisement
Advertisement




