Back to home

Wadau Bungoma wataka usawa katika utoaji wa huduma za afya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Mchakato wa kuangazia masuala ya afya umepigwa upatu na wadau katika sekta ya afya mjini bungoma huku serikali ikitakiwa kuhakikisha usawa katika utoaji wa huduma katika sekta zote.
Advertisement