Back to home

Wafanyabiashara Voi walazimika kusafisha mji kufuatia mgomo wa wafanyakazi

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 20, 2026
2h ago
Kufuatia mgomo wa wafanyikazi wa ukusanyaji ushuru na wale wa mazingira kaunti ya Taita Taveta, sasa wafanyibiashara katika soko la Voi wamelazimika kufanya usafi mjini humo ili kuondoa taka ambazo zimetapakaa.
Advertisement