Back to home
Miili ya watu saba wa ajali ya Ololokwe yafikishwa Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 20, 2026
2h ago
Maafisa wa usalama wamefanikiwa kupata miili na mabaki ya watu saba walioangamia katika ajali ya ndege iliyotokea katika Mlima Ololokwe, Kaunti ya Samburu.
Kamanda wa Polisi wa Kaunti ya Samburu, David Nkoroi, amesema shughuli za uokoaji zimekamilika na miili yote imesafirishwa
Advertisement
Advertisement





