Back to home

Barabara za miji ya Kapsabet na Nandi Hills zawekwa lami

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 21, 2026
2h ago
Wakazi wa kaunti ya Nandi wakaribisha mpango wa serikali ya kitaifa kwa ushirikiano na serikali ya kaunti wa kuweka lami katika barabara na mitaa yote ndani ya maeneo ya biashara ya miji ya Kapsabet na Nandi Hills.
Advertisement