Back to home

Serikali ya Kaunti ya Embu yaanza mchakato wa kuipa hadhi ya manispaa miji mitatu mipya

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 21, 2026
2h ago
Serikali ya Kaunti ya Embu yaanza mchakato wa kuipa hadhi ya manispaa miji mitatu mipya, katika hatua ilengayo kusogeza huduma karibu na wananchi, kuboresha upangaji wa miji na kuvutia wawekezaji.
Advertisement