Back to home

Malkia Strikers yaendelea na maandalizi ya Mashindano ya Afrika

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 22, 2026
2h ago
Timu ya taifa ya voliboli ya wanawake, Malkia Strikers, inayoundwa na wachezaji 14, inaendelea na mazoezi katika uwanja wa Kasarani hapa Nairobi, kabla ya Mashindano ya Bara Afrika yanayoanza kesho katika uwanja huo
Advertisement