Back to home

Wakazi wa Mageta wapata vitambulisho kwa mara ya kwanza

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 24, 2026
1h ago
Baadhi ya wakazi wa Kisiwa cha Mageta, Kaunti ya Siaya, wamejisajili kupokea vitambulisho kwa mara ya kwanza baada ya serikali kuanza mchakato wa usajili kisiwani humo. Baadhi ya wakongwe hao walielezea masaibu waliyokuwa nayo kwa kukosa cheti hicho muhimu, ikiwemo ukosefu wa bim
Advertisement