Back to home
Wakazi Busia watakiwa kulinda miundombinu ya umeme dhidi ya wizi
video
C
Citizen TV (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Wakazi wa vijiji mbalimbali vya kaunti ya Busia wamehimizwa kulinda na kutunza miundomsingi ya umeme inayojengwa maeneo hayo na katika taasisi za umma kama vile shule, vituo vya afya na masoko . Wito huu umetolewa huku visa vya wizi vya nyaya na vifaa vya umeme vikiongezeka kau
Advertisement
Advertisement





