Back to home
Familia ya washukiwa wa mauaji ya Victoria Nthunya yadai mashtaka ya mauaji yamechochewa na mali
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 25, 2026
1h ago
Familia ya washukiwa watatu wanaokabiliwa na mashtaka ya mauaji ya daktari bingwa wa magonjwa ya akili, Dkt. Victoria Nthunya Mutiso, imekosoa vikali hatua ya kuwafikisha Mahakama Kuu, ikidai mashtaka hayo yamechochewa na nia mbaya na mzozo wa mali.
Subscribe and watch NTV Kenya
Advertisement
Advertisement





