Back to home

Busia: viongozi watakiwa kutumia michezo kama nyenzo ya kuwawezesha vijana

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 27, 2026
2h ago
Serikali, viongozi wa kisiasa katika kaunti za mpakani za Busia na Siaya, wametakiwa kutumia michezo kama nyenzo ya kuwawezesha na kuwaweka vijana mbali na matumizi ya mihadarati, uhalifu na makundi hatari. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and ever
Advertisement