Back to home

Muuzaji wa nafaka Narok ashinda Sh1 milioni katika kampeni ya Shabiki InaGive

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 27, 2026
1h ago
Roselyne Akinyi Okello, muuzaji wa nafaka na mboga kutoka Kaunti ya Narok, amekuwa mshindi wa wiki ya tatu katika kampeni ya Shabiki InaGive kwenye Shabiki.com, akijishindia Sh1 milioni baada ya kucheza mchezo wake anaoupenda wa Crash. Ushindi huo ukiwadia wakati shule zinapofun
Advertisement