Back to home
Kakamega: Ongezeko la wanafunzi Masinde Muliro lachochea biashara na mapato
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 27, 2026
1h ago
Kuongezeka kwa idadi ya wanafunzi katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Masinde Muliro mjini Kakamega kumesababisha kuongezeka kwa biashara na kuchochea ongezeko la mapato ya Kaunti ya Kakamega.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and every
Advertisement
Advertisement





