Back to home
Vijana katika maeneo ya vijijini Kaunti ya Kirinyaga wapata mafunzo ya matumizi ya AI
video
C
Citizen TV (Youtube)August 28, 2026
2h ago
Vijana katika maeneo ya vijijini Kaunti ya Kirinyaga waanza kupata mafunzo kuhusu matumizi ya akili bandia (AI), katika juhudi za kuwapa ujuzi wa teknolojia na kuwawezesha kutumia fursa zitokanazo na uchumi wa kidijitali
Advertisement
Advertisement





