Back to home

KRA yasema haijaongeza ushuru wa biashara

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 28, 2026
1h ago
Mmamlaka ya ukunsanyajai ushuru imesema haijaongeza ushuru wa biashara ila inatekeleza tu yaliyopitishwa na bunge. kamishna wa forodha wa KRA Lilian Nyawanda ameyasema hayo kujibu malalamiko ya wafanyabaisha hapa jijini Nairobi
Advertisement