Back to home
Wakaazi wasambaziwa maji kwa mgao katika mji wa Meru
video
C
Citizen TV (Youtube)September 1, 2026
1h ago
Wakaazi wa Mji wa Meru Wamehimizwa kutafuta njia Mbadala za kuhifadhi Maji nyumbani, kutokana na uhaba wa Maji unaosababishwa na ukame ambao umeathiri mito na chemichemi za Maji yanayotumika Mjini Meru.
Advertisement
Advertisement





