Back to home
Maafisa wa DCI Bungoma wawakamata washukiwa watatu katika mauaji ya Nathan Wasama
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 12, 2026
18h ago
Siku chache baada ya mauaji ya aliyekuwa diwani wa eneo la Mlima Elgon, Nathan Wasama, maafisa wa DCI Bungoma wamewakamata washukiwa watatu katika operesheni iliyofanyika eneo hilo.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans.
Advertisement
Advertisement





