Back to home
Naibu wa rais Prof Kithure Kindiki ameziagiza wizara za maji, kawi, barabara na teknolojia
video
C
Citizen TV (Youtube)September 3, 2026
1h ago
Naibu wa rais Prof Kithure Kindiki ameziagiza wizara za maji, kawi, barabara na teknolojia kufanya kazi kwa karibu na magavana wa kaunti nane ambapo maeneo ya viwanda yanajengwa ili kuboresha bidhaa za kilimo.
Advertisement
Advertisement





