Back to home
Kituo maalum cha kuhifadhi baridi cha vifaa vya utafiti wa kliniki chazinduliwa Nairobi
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 3, 2026
1h ago
Kenya imepiga hatua nyingine muhimu katika kujiimarisha kama kitovu cha utafiti wa afya bora barani Afrika, hii ni baada ya kuzinduliwa kwa kituo maalum cha kuhifadhi baridi cha vifaa vya utafiti wa kliniki hapa Jijini Nairobi.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Keny
Advertisement
Advertisement





