Back to home
Wazee wa Abaluhya wapinga sherehe ya Iteso Esibembe inayotarajiwa kufanyika Jumamosi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 4, 2026
1h ago
Wazee wa jamii ya Abaluhya wamepinga kufanyika kwa sherehe ya Iteso inayotarajiwa kufanyika Jumamosi katika Shule ya Esibembe, Bukhayo. Hatua hiyo imezua mgogoro wa kitamaduni huku pande mbalimbali zikitoa msimamo kuhusu kufanyika kwa sherehe hiyo.
Advertisement
Advertisement







![| Shajara na Lulu | Simulizi ya Stanley Dzuya ambaye anaugua ugonjwa wa Figo [Part 1]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Shajara-na-Lulu-_1788515586-16x9.jpg)

![| Shajara na Lulu | Simulizi ya Stanley Dzuya ambaye anaugua ugonjwa wa Figo [Part 2]](https://static.theonlinekenyan.com/news_images/-Shajara-na-Lulu-_1788515585-16x9.jpg)