Back to home

Wazee wa Abaluhya wapinga sherehe ya Iteso Esibembe inayotarajiwa kufanyika Jumamosi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 4, 2026
1h ago
Wazee wa jamii ya Abaluhya wamepinga kufanyika kwa sherehe ya Iteso inayotarajiwa kufanyika Jumamosi katika Shule ya Esibembe, Bukhayo. Hatua hiyo imezua mgogoro wa kitamaduni huku pande mbalimbali zikitoa msimamo kuhusu kufanyika kwa sherehe hiyo.
Advertisement