Back to home
EACC yaichunguza KFIC kuhusu madai ya ufisadi wa Ksh. 20M
video
C
Citizen TV (Youtube)September 8, 2026
2h ago
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imeanzisha uchunguzi dhidi ya Shirika la Viwanda vya Samaki nchini (KFIC). Maafisa wa shirika hilo wanadaiwa kufuja Sh20 milioni zilizotengwa kwa vifaa vya uvuvi.
Advertisement
Advertisement





