Back to home
Mwanaume afariki baada ya jumba kuporomoka Ogembo
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
2h ago
Mwanaume mmoja amefariki baada ya jumba alilokuwa ndani kuporomoka Ogembo, Kisii. Jumba hilo lilikuwa likijengwa na mvua kubwa inadaiwa kuchangia kuporomoka kwake
Advertisement
Advertisement




