Back to home
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna akariri azma yake ya kuwania urais mwaka wa 2027
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna amekariri azma yake ya kuwania urais mwaka wa 2027. Sifuna amesema nia ya vuguvugu la Linda Mwananchi ni kumfanya Rais William Ruto kuwa rais wa muhula mmoja na kueleza kuwa watakaporejesha heshima ya utawala wa kisheria nchini.
Subscribe and watch
Advertisement
Advertisement





