Back to home
Ruto akabiliwa na misukosuko katika sekta mbalimbali
video
C
Citizen TV (Youtube)September 9, 2026
1h ago
Katika muda wa majuma kadhaa yaliyopita, Rais William Ruto amejipata katika njia panda, akilazimika kuingilia kati baada ya misukosuko kuibuka katika sekta mbalimbali hapa nchini. Ni hapo jana tu ambapo Ikulu ya Rais ililazimika kutoa mwelekeo kuhusu mgogoro kuhusu raia wa kigeni
Advertisement
Advertisement





