Back to home

Rais asema viongozi wa upinzani hawana sera na kuwa semi zao hazimbabaishi

video
N
NTV Kenya (Youtube)
September 9, 2026
1h ago
Rais William Ruto ameendelea kushambulia viongozi wa upinzani, haswa Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna. Ruto sasa amemtaka Sifuna, kutafuta ajenda nyingine kutoka aliowataja kuwa wafadhili wa Sifuna, akishikilia kuwa WanTam na Must Go hazimbabaishi. Ruto aidha amejigamba, akisema a
Advertisement