Back to home

Wakulima wataka serikali iharakishe miradi ya kufufua kilimo

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 14, 2026
1h ago
Kuanzia mbolea ya ruzuku hadi ongezeko la malipo ya chai na kahawa, wakulima katika sekta hizo wametaja uwekezaji wa hivi punde wa serikali kama hatua muhimu ya kufufua kilimo nchini. Hata hivyo, wakulima bado wanalalamikia kucheleweshwa kwa baadhi ya miradi inayolenga kuboresha
Advertisement