Back to home
Wizi wa kutumia pikipiki na bunduki waongezeka Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Visa vya wizi wa kimabavu vimeendelea kuripotiwa katika maeneo kadhaa hapa jijini Nairobi, huku matumizi ya pikipiki na bunduki yakiendelea kuhatarisha maisha ya wananchi.
Kisa cha hivi punde kiliripotiwa eneo la Parklands, Nairobi, baada ya majambazi waliojihami kuwaibia wananc
Advertisement
Advertisement




