Back to home
Wakulima wa mahindi Trans Nzoia wahofia hasara kutokana na mvua na uagizaji
video
C
Citizen TV (Youtube)September 14, 2026
1h ago
Wakulima wa mahindi kutoka eneo la Trans Nzoia wana hofu kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha pamoja na hatua ya serikali kuagiza mahindi kutoka nje.
Wakulima hao wanasema uagizaji wa mahindi huenda ukashusha bei ya mazao yao na kuwaongezea hasara. Baadhi yao wameanza ku
Advertisement
Advertisement




