Back to home
Uhaba wa maziwa waendelea, bei zapanda
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2026
2h ago
Kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa, uhaba wa maziwa umeendelea kushuhudiwa nchini, huku serikali ikikosa suluhu mwafaka ya kukabiliana na hali hiyo.
Uhaba huo sasa umechangia kupanda kwa bei ya maziwa, huku maduka makuu yakiweka kikomo cha kiwango cha maziwa ambacho kila mteja anaruh
Advertisement
Advertisement





