Back to home
KUPPET yataka vikao vya ufadhili wa elimu kusitishwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 17, 2026
1h ago
Muungano wa walimu wa shule za upili na vyuo anuai KUPPET umetaka kusitishwa kwa vikao vya kukusanya maoni kuhusu ufadhili wa elimu nchini. KUPPET ikitaka mashauriano na mchango wa walimu, wazazi pamoja na miungano ya walimu kufanywa kabla ya zoezi hilo kuendelea. Vikao hivyo vil


The Online Kenyan Android App
Take Kenya's news with you
Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.
Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play









