Back to home
Familia 15 zalazimika kuhama baada ya nyufa kubwa kuonekana kwenye nyumba zao Machakos
video
N
NTV Kenya (Youtube)September 19, 2026
1h ago
Takriban familia 15 katika makazi ya London Court, Athi River, Kaunti ya Machakos, zimelazimika kuanza kuhama baada ya nyufa kubwa kuonekana kwenye kuta na misingi ya nyumba zao.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyans. G


The Online Kenyan Android App
Take Kenya's news with you
Breaking stories, daily briefs, and the topics you follow - on your phone, free.
Get the Kenyan News appFree Android app on Google Play









