Wadau wa karate wasisitiza uwajibikaji wa serikali kuhusu pesa za michezo
About this video
Wadau wa mchezo wa karate wanataka serikali ya kitaifa na zile za kaunti kuhakikisha kuwa pesa zinazotengewa michezo hiyo zinawafikia jinsi inavyofanyika kwenye michezo mingine nchini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Kenyan..