Back to home

Watu 139 walipelekwa katika hospitali kuu ya Kenyatta kufuatia maandamano ya hapo jana

video
June 26, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Watu 139 walipelekwa katika hospitali kuu ya Kenyatta kufuatia maandamano ya hapo jana. Kulingana na taarifa kutoka kwa wahudumu wa afya katika hospitali hiyo, baadhi ya waliofikishwa hospitalini walikuwa na majeraha ya risasi za raba. Japo wengine waliruhusiwa kwenda nyumbani, w..