Mamia ya maduka na maeneo ya biashara jijini Nairobi
About this video
Mamia ya maduka na maeneo ya biashara jijini Nairobi yaliporwa, kuvunjwa na kuchomwa wakati wa maandamano, huku wamiliki wakikadiria hasara. Wafanyabiashara wanalilia hasara huku maduka kadhaa ya jumla yakiporwa Nairobi, Nyeri, Naivasha na Bungoma...